Pst Joseph Leleruk

26:24 2 speakers 7 chapters 63 segments

Chapters

  1. 0:00

    Sasa swali ya kwamba, ngependa kujua? Wongozi wako, kama mtuvaji. Uneeza elezea kwamba ni wongozi wa inagani. Wongozi wako ni wongozi wa kutia wengine moyo na kuangazisha. Ama wongozi wako ni wongozi wa unaolenga kushugulikia wengine. Ama u…

  2. 5:20

    wanafanya hivyo kila wakati alamu susa kwa pande ya waschungaji uwa kila mwaka tunatembelea wachungaji wawili na kuna kiwangu ambacho ya pesa ambaye kila kanisa linatoa tunamakanisa yetu hapa ambaye sasa upande huu tuko na makanisa tisa amb…

  3. 12:29
    Chapter 4: na pia kuwona pia hile umoja wao ndani ya kanisa nimeesa kuwona mabadili kama kumba sana wa sante na uki kwa hizi vikundi kuna watu kama wajane ama wasiojiweza ambao wanausika katika hizi vikundi mdiyo ee wako aa wajane ambao pia wame wako tundani ya iso kikundi um na hawa pia wamefaidika umu ee kwa sababu ya kupata mapabi pia mhm aa kupitia iso tebabangi oke na kuna changamotozo zote ambazo wanazo zipitia hawa wajane na labda hawa wasiojiweza katika kueza ku aa kuengeneza maisa yao changamoto wambayo hiko wanaitaji pia training wanaitaji pia kutuseme kama kupata matraining hizo wa masisho saidi, wapata hizo skill sa kufanya miradi hizo na wakipata hizo training sitasaidia saidi sasa njo wapata kwa endolesha maana jambo hilo unajua sasa inalenga sasa inasaidia hawa sasa kuona aa pia umuhimu ya kasi ya mungu ee maana wamekua na hiyo moyo wauruma hata ya kufikia wengine hile wapesikia oke wanabaguliwa wakati wanapa weza kujiunga na hiyo vikundi awapaguliwi sasa hapo awapaguliwi ee na fedha ni changamoto kwao ama si changamoto ee wakati ingine ni changamoto kwao mhm ee kama sasa kwa wajane ni changamoto kwao wakati mungine na jee labda huyo yomavu wao ee inaweza kuwa inaweza kuwa ni changamoto wakati wanapo aa taka kujiendeleza kimaisha ee sorry ule mafu wale ambao ni wale mafu wale ambao ni wale mafu ee sasa kwa kwa fikundi kiki korefication wane inaweza kuwa inasangia katika tangamoto za wakati wanapo taka kujiendeleza kimaisha Sasa kwa hawa mbao atuja kuwa na wandemafu Kwa kwa hizo vipu kwa hini ni sasa ya bandi ya makanife yetu Ok Ea awana tuna wandemafu Ok Nachangamoto hizi ambazo umeongelelea kama vile matomo kuwa hizumi Na pia kuwa nachangamoto za kipetha Hizi zifundi ambazo ni ni magundi mahalo msungaji wenu ama wewe mwenyewe sama msungaji na kandisa muna saidia vipi katika kutafuta suluhu katika tangamoto hizi jamba mbalo tunafanya tunajaribu kuelimisha kwa sababu wengi wengi wajasoma ee sama wa shiriki wa makadisha yeti wengi maende wa haya uhum so jamba mbalo uwa tinafanya ni kusaidia hawa uhum pia katika masomo nani kufundisha tu uhum na pia kulete karibu uhum ee sasa kulete hawa karibu pia loko kuonyesha upendo uhum na kwa masisha sasa aa wakaya pamoja na awale njina ambao anahilewa ok ee na mwanafanya kazi vipi mkua pamoja kama kikundi Kama sasa kama ya wa mama. 308s · Speaker 1

    na pia kuwona pia hile umoja wao ndani ya kanisa nimeesa kuwona mabadili kama kumba sana wa sante na uki kwa hizi vikundi kuna watu kama wajane ama wasiojiweza ambao wanausika katika hizi vikundi mdiyo ee wako aa wajane ambao pia wame wako …

  4. 19:41
    Chapter 6: wana hiyo imani na wenzao ama labda kama ni kwa pesa wamekona hile disli ni ya pesa ukikukua unalipa ndiyo iwezesi kifundi kuendelea ama na mnazani ee wakati mwi mingi kuna shangamoto maalipale wakati njine vile ninaapo ona hawa wakati njine sasa kwa wa mama kwa sababu unakuta wengine wanaesa pewa na kurudisha inakua ngumbu so mpaka wengine sasa wafatiliye tena sasa kwebu kuna shangamoto hapo na itakuwa ni kuna shangamoto hapo kuna shangamoto habu kwa sababu mtu anahesa chukua anahende anahende tasa atumye kwa njia njine mhm ama kwa mfano tasa kwa sababu wakati mwingi eee wane ambao wanafanya nini ya soko ya kuenda kwa masoko mhm soo mtu ananunua vitu anabereka kwa hile soko mhm anakuta tena ijanunuliwa ama watu amechukua kwa deni mhm na hea amechukua pesa hizi arulishi mhm so baadae kurejesha hela hizo inakuwa changamoto kwaki oke na wanakutana mara kwa mara wanakutana mara kwa mara kwa wiki wanakutana wakati siku moja kwa wiki kira every week wanakutana kwa siku na hakuna changamoto ya wawo kupigana wenyewe kwa wenyewe kwa vikundi aa jambo hilo hakuna mhm aa hakuna sasa kupigiana ok ee kwa sababu wakati mwingi sasa kuna uongozi ambao tume wameweka mkakati kuna wale ambao wakudispline wengine mhm kuna advisor supale ok aa ambao ni washahuri ambao wanaenda wakiona fulani ame amechelesa mhm kuna wale ambao wata mfikia ok na jambo hilo sasa lime kwa hivyo kuna changamoto hundokondogo tu lakini ee awapigani awapigani kwa hivyo hile kitu ambayo inaeza fanya hizo vikundi zididemie katika kuindolea ni pesa tu ukosaji wa pesa kekeake ee ukosaji wa pesa tu kekeake ee na Ungependa viongozi wa kanisa wafanya nini tufauti ya kuhenda kuhunga mkono, hizi shuguli za weze saji za wakiliki wako. 317s · Speaker 2

    wana hiyo imani na wenzao ama labda kama ni kwa pesa wamekona hile disli ni ya pesa ukikukua unalipa ndiyo iwezesi kifundi kuendelea ama na mnazani ee wakati mwi mingi kuna shangamoto maalipale wakati njine vile ninaapo ona hawa wakati njin…